Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Saturday, August 3, 2013

RAIS MPYA WA IRAN ASHIKA MADARAKA

Rais mteule wa Iran Hassan Rouhani anaapishwa katika sherehe mjini Tehran ambapo atapewa idhini ya kiongozi wa kidini nchini humo, Ayatollah Ali Khamenei.
                                  Hassan Rouhani
Rouhani ambaye alikuwa mpatanishi kwenye mazungumzo ya mradi wa nuklia wa Iran, alishinda uchaguzi wa urais nchini Iran katika duru ya kwanza.
Wakati wa kampeni zake rais huyo mteule aliahidi kuleta mabadiliko ya kijamii na kiuchumi, na alisema ataimarisha uhusiano kati ya taifa hilo na jamii ya kimataifa ambao uliharibika zaidi wakati wa utawala wa Rais Mahmoud Ahmedinejad.

Imewekwa na Happy Adam
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment