Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Saturday, August 3, 2013

PAPA FRANCIS ACHAGUA 'UDUGU' KUWA KAMA KAULIMBIU YA SIKU YA AMANI DUNIANI

Hayo yamesemwa na Papa Francis katika ujumbe wa amani alioutoa, mada kuu ikiwa ni ''Udugu ndio msingi na njia ya amani''.
Pope Francis kisses a child during his visit to Brazil (CNS)
Papa Francis alipokuwa akimsalimia mtoto mdogo kwa kumbusu
Akitangaa kaulimbiu ambayo imepangwa katika sherehe ya siku ya mwaka mpya wa 2014,watu wa vatikani waliweza kusema kwamba ''ujumbe wa Papa Francis ulikuwa ni wa msisitizo'' na hoja kuu ilikuwa ni kuhusiana na kupambana na jamii iliyojitenga na kufanya kuiunganisha na kuwa kitu kimoja na jamii nyingine (kuziunganisha)

Kama watoto wa baba mmoja ndivyo ambavyo binadamu wanahusishwa na jamii moja na nyingine katika udugu, na juhudi ambayo imeweza kuzaliwa kutoka katika udugu na hivyo kufanya kutokomeza umasikini, migogoro, kutokuwa na haki sawa, uhalifu, na matatizo mengine yanayoukabili ulimwengu wa leo. 

Imewekwa na Happy Adam
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment