Latest News

GNM Cargo

GNM Cargo
GNM CARGO & LOGISTICS

menu

Wednesday, June 7, 2017

Watu 38 wafariki katika ghasia baina ya wafugaji na wakulima Sudan-Kusini

Watu 38 wamefariki na wengine 35 kujeruhiwa katika ghasia zilizozuka bain aya jamii ya wakulima na wafugaji Sudan-Kusini

Watu 38 wamefariki na wangine 35 kujeruhiwa katika ghasia ziliztokea bain aya jamii ya wafugaji na jamii ya wakulima katika eneo la Gorial nchini Sudan-Kusini.

Msemaji wa meya wa eneo hilo Agoth Mel amesema kuwa jamii ya wafugaji na jamii ya wakulima zilipambana katika ghasia na kusababisha maafa ya watu 38 na wengine 35 kujeruhiwa.

Taarifa nyingine inaarifu kuwa  ghasia hizo zilizuka ikiwa jamii hizo mbili zilikuwa zikitaraji kulipiza kisasi.

Sudan-Kusini imekumbwa na ukosefu wa amani kutokana na kuzagaa kwa silaha mikononi mwa raia.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment