Writen by
sadataley
6:51 PM
-
0
Comments
| Dc Iringa Baadhi ya wananchi wa Manispaa ya Iringa wameitaka serikali ya wilaya ya Iringa kuchunguza mkataba wa mwekezaji wa Bustani ya Manispaa ya Iringa ambae amekuwa akiuza pombe kali katika eneo hilo kinyume na mkabata wake. wakizungumza na mtandao huu wa matukiodaimaBlog wananchi hao wametaka kujua uhalali wa Manispaa ya Iringa kuruhusu mwekezaji huyo kufanya biashara ya pombe katika eneo hilo ambalo kimsingi si sahihi . Jitihada za kumtafuta mwekezaji na uongozi wa Manispaa ya Iringa zinaendelea Habari hii ni kwa hisani ya Matukio daima |
No comments
Post a Comment