Latest News

GNM Cargo

GNM Cargo
GNM CARGO & LOGISTICS

menu

Wednesday, September 21, 2016

Magufuli avunja bodi ya udhamini wa pensheni Tanzania

Rais wa Tanzania John Magufuli ametengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Udhamini ya Mfuko wa Pensheni wa LAPF Prof Hasa Mlawa na kuvunja bodi ya udhamini wa mfuko huo. Taarifa kutoka ikulu imesema uamuzi huo utaanza kutekelezwa mara moja. "Uteuzi wa Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Udhamini ya LAPF utafanywa baadaye," taarifa hiyo imesema.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment