Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Wednesday, September 21, 2016

Magufuli avunja bodi ya udhamini wa pensheni Tanzania

Rais wa Tanzania John Magufuli ametengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Udhamini ya Mfuko wa Pensheni wa LAPF Prof Hasa Mlawa na kuvunja bodi ya udhamini wa mfuko huo. Taarifa kutoka ikulu imesema uamuzi huo utaanza kutekelezwa mara moja. "Uteuzi wa Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Udhamini ya LAPF utafanywa baadaye," taarifa hiyo imesema.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment