Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Monday, July 4, 2016

Shambulio la kujitoa mhanga Jedda

Taarifa kutoka nchini Saudi Arabia zinasema kuwa mshambuliaji wa kujitolea mhanga amejilipua karibu na tawi la ubalozi wa marekani katika mji wa Jedda. Ripoti zinasema kwa ni mshambuliaji tu aliyeuawa lakini baadhi ya taarifa zinasema kuwa walinzi wawili walijeruhiwa na shambulizi hilo. Shambuli kwenye tawi la ubalozi wa marekani mjini Jedda mwaka 2004 lilisababisha vifo vya watu 10. Utawala nchini Kuwait unasema umetibua mashambulizi matatu yaliyokuwa yamepangwa na kundi la Islamic State likiwemo lililokuwa limelenga msikiti wa washia. Wizara wa mambo ya ndani inasema kuwa idara za ulinzi ziliendesha oparesheni tatu ndani ya Kuwait na nje, ambapo watu kadha walikamatwa. Mwaka uliopita mshambuliaji wa kujitolea mhanga raia wa Saudi Arabia aliwaua watu 27 wakati alijilipua ndani ya msikiti wa washia nchini Kuwait.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment