Latest News

GNM Cargo

GNM Cargo
GNM CARGO & LOGISTICS

menu

Monday, June 27, 2016

Kundi la IS lakiri kushambulia Kambi Jordan

Kundi la wanamgambo wa Isalmic State siku ya jumapili lilikiri kutekeleza shambulio la kujitoa muhanga lililoua wanajeshi saba wa Jordan katika mpaka wa Syria.Taarifa hiyo ilitolewa kwenye tovuti ya shirika la habari la Amaq. likinukuu chanzo ambacho hakikutajwa kwa jina, lilisema kuwa shambulio la jumanne dhidi ya kambi ya Jordan na Marekani mjini Rokban nchini Jordan lilitekelezwa na mpiganaji wa Islamic State. Mlipuko, ambao pia uliwajeruhi wanajeshi 13 ulitokea katika eneo ambalo maelfu ya raia wa Syria wamepiga kambi.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment