Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Monday, June 27, 2016

Kundi la IS lakiri kushambulia Kambi Jordan

Kundi la wanamgambo wa Isalmic State siku ya jumapili lilikiri kutekeleza shambulio la kujitoa muhanga lililoua wanajeshi saba wa Jordan katika mpaka wa Syria.Taarifa hiyo ilitolewa kwenye tovuti ya shirika la habari la Amaq. likinukuu chanzo ambacho hakikutajwa kwa jina, lilisema kuwa shambulio la jumanne dhidi ya kambi ya Jordan na Marekani mjini Rokban nchini Jordan lilitekelezwa na mpiganaji wa Islamic State. Mlipuko, ambao pia uliwajeruhi wanajeshi 13 ulitokea katika eneo ambalo maelfu ya raia wa Syria wamepiga kambi.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment