Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Monday, April 18, 2016

Daraja la kisasa kuzinduliwa Kigamboni

Tanzania inatarajia kufungua daraja la kingamboni, daraja la ndefu zaidi Afrika Mashariki aina ya cable-stay kwa maana daraja linalobeba uzito kwa nyaya au kamba. Daraja hilo linatarajiwa kufunguliwa rasmi na Rais John Pombe Magufuli kesho na kuunganisha mkondo wa kurasini jijini Dar es salaam hadi eneo la Kigamboni. Daraja hilo limegharimu zaidi dola milioni 140, na litachukua nafasi ya feri inayosafirisha watu na magari kati ya kigamboni na kivukoni upande wa mjini Dar.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment