Latest News

GNM Cargo

GNM Cargo
GNM CARGO & LOGISTICS

menu

Monday, April 18, 2016

Daraja la kisasa kuzinduliwa Kigamboni

Tanzania inatarajia kufungua daraja la kingamboni, daraja la ndefu zaidi Afrika Mashariki aina ya cable-stay kwa maana daraja linalobeba uzito kwa nyaya au kamba. Daraja hilo linatarajiwa kufunguliwa rasmi na Rais John Pombe Magufuli kesho na kuunganisha mkondo wa kurasini jijini Dar es salaam hadi eneo la Kigamboni. Daraja hilo limegharimu zaidi dola milioni 140, na litachukua nafasi ya feri inayosafirisha watu na magari kati ya kigamboni na kivukoni upande wa mjini Dar.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment