Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Wednesday, April 1, 2015

Palestina yapewa uanachama wa ICC

Wapalestina wamepata uanachama wa mahakama ya kimataifa kuhusu uhalifu wa kivita miezi mitatu baada ya ombi lao kukubaliwa. Waziri wa mashauri ya kigeni wa Palestina Riad Malki anatarajiwa kutoa taarifa baada ya kuhudhuria sherehe za makaribisho kwenye mahakama hiyo mjini Hague. Uanachama wa ICC unaiwezesha Palestina kuifungulia Israeli mashtaka ya uhalifu wa kivita lakini pia utachangia wanamgambo wa Hamas nao kufunguliwa mashtaka. Serikali ya Palestina inasubiri kutoa malalamishi dhidi ya Israel kuhusu madai ya uhalifu wa kivita mnamo mwaka 2014 katika eneo la Gaza na hatua ya Israel kujenga makaazi katika ardhi yake.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment