Latest News

GNM Cargo

GNM Cargo
GNM CARGO & LOGISTICS

menu

Thursday, March 19, 2015

Alshabaab:US yathibitisha mauaji

Wizara ya ulinzi nchini Marekani imethibitisha kwamba imemuua mojawapo ya viongozi wa kundi la wapiganaji wa Somalia Al Shabaab kupitia kombora. Adan Garaar alituhumiwa kupanga shambulio katika jumba la kibiashara la West Gate nchini Kenya miaka miwili iliyopita. Maafisa nchini Marekani wanasema aliuawa kusini mwa Somalia ijumaa iliyopita. Marekani imekuwa ikikagua operesheni hiyo kabla ya kuthibitisha kwamba Garaar ndiye aliyekuwa akilengwa. Nchi hiyo imewalenga viongozi wengine wakuu katika kundi hilo la wapiganaji wenye itikadi kali za kiislamu kwa mkombora akiwemo kiongozi wa zamani wa kundi hilo, Ahmed Godane.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment