Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Wednesday, February 11, 2015

Kayla Mueller aliuawa na IS:Marekani

    
Kayla Mueller aliyeuawa na IS
Marekani imethibitisha kuuawa kwa Kayla Mueller mfanyakazi wa mashirika ya misaada aliyekuwa akishikiliwa na wapiganaji wa Islamic State IS.
Familia yake imeelezea kusikitishwa kwake na kifo cha Kayla Mueller na wazazi hao kwa uchungu wameonyesha barua aliyowaandikia enzi za uhai wake mara baada ya kuwekwa kuzuizini na IS. Katika salam zake za rambi rambi Rais Barack Obama amesema msichana huyo amewakilisha vyema taifa lake la Marekani. Kumekuwa na taarifa mbili tofauti kutokana na kifo hicho kwani wakati Marekani inasema bila shaka aliuawa, IS wanasema kuwa Kayla Mueller aliuaawa katika mashambulizi ya anga huko Jordan,Jordan imekanusha madai hayo.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment