Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Thursday, November 13, 2014

Zuma matatani

    

Rais wa Afrika kusini Jacob Zuma
Upinzani nchini Afrika Kusini unatarajiwa kuwasilisha bungeni hoja ya kutaka kumuondoa madarakani rais wa nchi hiyo.
Wabunge wa upinzani nchini humo wamesema kauli mbiu yao ni Rais Zuma lazima aende.
Wakati hayo yakijiri, Kamati ya wabunge wa chama tawala cha ANC watakuwa wakiwasilisha mbele ya Spika wa bunge uchunguzi wao walioufanya kuonyesha kuwa Rais Jacob Zuma hakuhusika na ubadhirifu wa kiasi cha dola millioni 22 zilizotumika kujenga Kasri lake huko Nkandla.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment