Latest News

GNM Cargo

GNM Cargo
GNM CARGO & LOGISTICS

menu

Friday, October 10, 2014

Tanzania: watu 7 wauawa kufuatia imani za kishirikina

    
Rais wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, ambaye amekua akiwataka raia wake kuzingatia amani na usalama, lakini katika baadhi ya mikoa raia wamekua wakiwaua wenzao kwa imani za kishirikina.
Rais wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, ambaye amekua akiwataka raia wake kuzingatia amani na usalama, lakini katika baadhi ya mikoa raia wamekua wakiwaua wenzao kwa imani za kishirikina.
(Photo : Reuters)
Na RFI
Watu saba wameuawa kinyama kwenye kijiji cha Murufiti, wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma, nchini Tanzania, baada ya kundi la watu kuwavamia, kuua na kuchoma moto miili yao kwasababu za kishirikina.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment