Writen by
sadataley
10:32 AM
-
0
Comments

Uharibifu eneo la Gaza kutokana mapigano
Waziri wa Mambo ya Nje wa
Marekani John Kerry amezitaka pande mbili zinazopingana Israel na
Palestina kutia maanani usitishwaji wa mapigano huko ukanda wa Gaza na
kuketi katika meza ya mazungumzo.
Bwana Kerry ameiambia BBC kuwaa ni lazima kutia
maanani katika pande hizo mbili kuridhiana na kusema kwamba Israel inayo
haki ya kujitetea na kujilinda dhidi ya mashambulizi ya maroketi
yanayorushwa na Palestina na kukilaumu kikundi cha Hamas kwa
mashambulizi hayo lakini pia ametambua kile alichokiita uharibifu mkuwa
wa mali na maisha ya watu.Maelfu ya wapalestina waliokua katika ukanda wa Gaza wamerejeshwa makwao chini ya uangalizi wa umoja wa mataifa katika siku ya kwanza ndani ya saa sabini na mbili za makubaliano ya usitishwaji mapigano baina ya vikundi vya askari wa Israel na Palestina.
Israel imetuma ujumbe huko Cairo ,Misri kujadili juu ya Palestina kusitisha mapigano kwa kipindi kirefu.
No comments
Post a Comment