Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Monday, July 28, 2014

Uingereza:Urusi isiandae michuano

FIFA yaikabidhi Urusi haki za kuandaa michuano ya kombe la dunia mwaka 2018.
Naibu waziri mkuu nchini Uingereza Nick Clegg ametoa wito wa Urusi kupokonywa haki za kuandaa mashindano ya kombe la dunia ya mwaka 2018.
Ameliambia gazeti la Sunday Times kwamba haiwezekani kwa michuano hiyo kufanyika nchini humo kufuatia hatua ya Urusi kuwaunga mkono waasi wa Ukraine mashariki mwa taifa hilo wanaoushukiwa kwa kuitungua ndege ya abiria ya Malaysia hivi majuzi.
Amesema kuwa ulimwengu utaonekana myonge iwapo utaruhusu michuano hiyo kuendelea nchini Urusi.
Urusi imelaumu Ukraine kwa kuanguka kwa ndege hiyo iliowauawa takriban watu 300.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment