Writen by
sadataley
12:11 PM
-
0
Comments
Mecky Mexime- Kocha wa Mtibwa Sugar
Na Baraka Mpenja, Dar e salaam MTIBWA sugar kila mwaka inabomolewa na
timu nyingine za ligi kuu soka Tanzania bara kwa kuwasajili wachezaji
wengi muhimu wanaong`ara klabuni hapo. Kocha mkuu wa klabu hiyo,
Mzalendo, Mecky Mexime amesema amejikuta kila mwaka anakuwa na kazi ya
kujenga upya timu, kwasababu msimu unapoisha, wachezaji watatu au wanne
wa kikosi cha kwanza wananunuliwa na timu nyingine zikiwemo Simba na
Yanga. “Timu nyingi zinaangalia kwetu Mtibwa, kila mwaka tunabomolewa,
kila mwaka unajenga upya timu, kwasababu wanaondoka wachezaji watatu
wanne, tena wachezaji muhimu”. Alisema Mexime. “Sisi...
Kwa habari zaidi ingiahttp://shaffihdauda.com/?p=4124
No comments
Post a Comment