Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Friday, July 25, 2014

SIMBA, YANGA ZAHUSIKA KUIBOMOA MTIBWA SUGAR KILA MWAKA, MEXIME ALALAMA!

IMG_0733 (1)

SONY DSC 
Mecky Mexime- Kocha wa Mtibwa Sugar
Na Baraka Mpenja, Dar e salaam MTIBWA sugar kila mwaka inabomolewa na timu nyingine za ligi kuu soka Tanzania bara kwa kuwasajili wachezaji wengi muhimu wanaong`ara klabuni hapo. Kocha mkuu wa klabu hiyo, Mzalendo, Mecky Mexime amesema amejikuta kila mwaka anakuwa na kazi ya kujenga upya timu, kwasababu msimu unapoisha, wachezaji watatu au wanne wa kikosi cha kwanza wananunuliwa na timu nyingine zikiwemo Simba na Yanga. “Timu nyingi zinaangalia kwetu Mtibwa, kila mwaka tunabomolewa, kila mwaka unajenga upya timu, kwasababu wanaondoka wachezaji watatu wanne, tena wachezaji muhimu”. Alisema Mexime. “Sisi...
Kwa habari zaidi ingiahttp://shaffihdauda.com/?p=4124
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment