Writen by
sadataley
10:17 AM
-
0
Comments
Baba mzazi wa marehemu mwenye fulana nyeupe akiwa msibani nyumbani kwake mjini Kigoma. |
New life band wakiimba msibani hapo. |
New life band na sura zenye huzuni za kuondokewa na mpendwa wao. |
Mchungaji wa kanisa la Pentekoste Patandi mjini Arusha ambako marehemu alikuwa akiabudu akizungumza machache katika msiba huo. |
Upendo Nkone akiimba kwa uchungu wa kuondokewa na kaka yake. |
Kwaya iliyokuwa ikifundishwa na marehemu kwa takribani miaka 10 kabla hajatoka mkoani Kigoma, ikiimba msibani hapo. |
Askofu Kumenya wa kanisa la FPCT akihubiri katika msiba huo. |
Kiongozi wa New life band Fortunatus Mabondo akizungumza na watu waliofika msibani hapo. |
Baadhi ya umati wa watu waliofika msibani siku ya jana. |
Huzuni ikiwa imetawala. |
New life band walishindwa kujizuia kuonyesha hisia zao juu ya kuondokewa na mwenzao. |
Maua yakiwekwa juu ya kaburi la Eglah. |
Hakika Eglah ameacha huzuni kwa wengi. |
New life band baada ya mazishi wakiwa katika picha ya pamoja©New life band. Habari na Gospel Kitaa |
No comments
Post a Comment