Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Friday, July 25, 2014

MOURINHO ATHIBITISHA DROGBA KUREJEA


437018_heroa
KOCHA wa Chelsea, Jose Mourinho amethibitisha kuwa mshambuliaji wa zamani wa klabu hiyo, Didier Drogba anarudi darajani. Nyota huyo raia Ivory Coast  aliitumikia Chelsea kwa miaka 8 na kuondoka mwaka 2012  ambapo alijiunga  Galatasaray ya  Uturuki baada ya kutwaa kombe la UEFA dhidi ya Bayern Munich. Ingawa ana miaka 36 kwasasa, Mourinho anaamini bado anaweza wa kucheza ligi kuu nchini England na michuano ya kimataifa. ...
Kwa habari zaidi ingiahttp://shaffihdauda.com/?p=4114
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment