Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Saturday, July 26, 2014

Jason Dunford atangaza kustaafu



Jason Dunford akiwa mjini Glascow
Aliyekuwa bingwa wa Jumuiya ya madola katika shindano la uogeleaji mita 50 Butterfly, Mkenya Jason Dunford ametangaza kuwa atastaafu rasmi baada ya mashindano ya mwaka huu.
Akiongea baada ya kuondolewa kwenye shindano hilo baada ya kumaliza katika nafasi ya tano, Dunford amesema kuwa, ameamua kuchukua uamuzi huo kutokana na kile alichokitaja kama ukosefu wa msaada wa kutosha kutoka kwa wasimamizi wa michezo nchini Kenya.
Amelalamika kuwa hakupewa vifaa vya michezo ili kumwezesha kushiriki vyema katika mashindano ya mwaka huu.
Amesema, kinyume na mashindano mengine alipata mavazi yake ya michezo siku moja tu kabla ya kuingia kidibwini.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment