Writen by
sadataley
5:54 PM
-
0
Comments
Balozi wa Libya nchini Tanzania amejiua kwa kujipiga risasi kichwani.Msemaji wa serikali ya Tanzania Arthur Mwambene amethibitisha taarifa hiyo kuwa balozi huyo alijiua ndani ya makao ya ubalozi wa Libya mjini Dar es Salaam Jumanne usiku.
Taarifa zaidi zitakujia hivi punde
No comments
Post a Comment