Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Wednesday, January 22, 2014

Wanajeshi wa Ethiopia wajiunga na Amisom

Wanajeshi wa Ethiopia hii leo wamejiunga rasmi na wanajeshi wa Muungano wa Afrika wanaoshika doria nchini Somalia (Amisom) ili kutengeza kikosi cha sita cha wanajeshi wa Muungano huo ndani ya Somalia.
Wanajeshi wa AMISOM nchini Somalia
Kuna wanajeshi kadhaa wa Ethiopia nchini Somalia,ambao ni sehemu ya wanajeshi wanaopambana na kundi la wanamgambo wa Al Shabaab.
Ethiopia ni nchi pekee ambayo ilikuwa na vikosi vyake nchini Somalia ambao hawakuwa chini ya muungano wa wanajeshi wa AMISOM.
Wanajeshi wa Ethiopia waliingia mara ya kwanza nchini Somalia mwaka 2011 kusaidia iliyokuwa serikali ya mpito, kufurusha wanamgambo wa Al Shabaab kutoka katika miji mikubwa ya Somalia.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment