Writen by
sadataley
5:46 PM
-
0
Comments
CAF pia imesema kuwa Dola Milioni 3 nukta 2 ziltagawanywa miongoni mwa timu zote 16 zilizoshiriki katika kinyanganyiro hicho.
Haya yanajiri, huku Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na Gabon zikijiunga na Mali, Nigeria, Morroco, Zimbabwe, Ghana na Libya katika hatua ya robo fainali.
Timu zote zilizokuwa zinawakilisha Afrika Mashariki zimeondolewa katika michuano hii, ikiwemo Uganda, Ethiopia na Burundi.
Katika michuano ya robo fainali zitakazopigwa mwishoni mwa juma hili, Morroco watapambana na Nigeria katika mchuano wa kwanza siku ya jumamosi, huku Mali wakimenyana na Zimbabwe.
Siku ya Jumapili, Gabon watamenyana na Libya, huku Ghana wakipangiwa kumaliza kazi na Jamhuri ya Kidemkorasia ya Congo.
Michuano ya robo fainali itachezwa siku ya Jumatano ijuma lijalo tarehe 29.
Haya yanajiri, huku Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na Gabon zikijiunga na Mali, Nigeria, Morroco, Zimbabwe, Ghana na Libya katika hatua ya robo fainali.
Timu zote zilizokuwa zinawakilisha Afrika Mashariki zimeondolewa katika michuano hii, ikiwemo Uganda, Ethiopia na Burundi.
Katika michuano ya robo fainali zitakazopigwa mwishoni mwa juma hili, Morroco watapambana na Nigeria katika mchuano wa kwanza siku ya jumamosi, huku Mali wakimenyana na Zimbabwe.
Siku ya Jumapili, Gabon watamenyana na Libya, huku Ghana wakipangiwa kumaliza kazi na Jamhuri ya Kidemkorasia ya Congo.
Michuano ya robo fainali itachezwa siku ya Jumatano ijuma lijalo tarehe 29.
No comments
Post a Comment