Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Monday, January 20, 2014

Picture
L-R: Dk. John P. Magufuli (Ujenzi) na Prof. Anna Kajumulo-Tibaijuka (Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi)
Pichani ni Mawaziri wawili wanaoonekana kupewa imani kubwa, kumwagiwa sifa, kuombewa dua njema na kupendwa na Wananchi kwa kiwango cha hali ya juu, kutokana na historia ya utendaji kazi wao inayokubalika ndani na nje ya mipaka ya siasa bila kujali itikadi ya vyama. Mimi ni mmoja wa wananchi hao. Ingekuwa vipi hapo iwe ni picha ya Rais na Makamu wa Rais? e bwana kwalitii! yaani viwango bila shobo... lakini mmh, mizengwe, visa na mikasa ya siasa, dah! mwenyewe nachoka kuwaza, naishia kujihisi mdogo tu.


Chanzo: http://www.wavuti.com
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment