Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Sunday, December 22, 2013

Bunge la Uganda lapitisha mswada wa adhabu kwa mashoga

Maadhimisho ya siku ya wapenzi wa jinsia moja Uganda
Bunge la Uganda Ijumaa lilipitisha mswada ambao utafanya baadhi ya vitendo vya ngono kati ya watu wa jinsia moja kupewa adhabu ya kifungo cha maisha jela.
Mswada huo awali ulishtumiwa na  makundi ya kutetea haki pamoja na serikali za Magharibi ikiwemo Marekani kwa sababu ulijumuisha adhabu ya kifo.

Mswada uliopitishwa Ijumaa unatoa adhabu ya kifungo cha maisha jela kwa yeyote atakayehukumiwa kwa kile ilichosema ni "vitendo vilivyopita mipaka"vya ngono kati ya watu wa jinsia moja.

Waziri Mkuu Amama Mbabazi alikaririwa akisema kuwa serikali ya Uganda itafanya mashauriano zaidi kuhusu mswada huo ambao unahitaji kutiwa saini na Rais Yoweri Museveni kabla ya kuwa sheria kamili nchini humo.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment