Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Friday, November 29, 2013

Wanaharakati nchini Misri wapinga adhabu

Makundi ya kutea haki za Binaadam nchini Misri yamekosoa uamuzi wa mamlaka kuhukumu kifungo cha miaka kumi na mmoja dhidi ya kundi Waandamanaji wa kike kutoka chama cha kiislamu nchini humo.
mamlaka imekuwa ikipambana na Waaandamanaji wa Misri
Wanawake 21 na wasichana walikamatwa mwezi uliopita baada ya kutokea maandamano mjini Alexandria yaliyokuwa yakimuunga mkono Kiongozi aliyeondolewa madarakani, Mohamed Morsi , huku Familia moja ikidai binti wa familia hiyo alikamatwa alipokuwa akipita eneo lenye maandamano akielekea shuleni.
Walithibitishwa kuwa na makosa ya kutumia nguvu na hujuma, lakini washtakiwa walikana wakidai kuwa maandamano hayo yalikuwa ya amani.
Mwandishi wa BBC jijini Cairo amesema kuwa hukumu iliyotolewa imedaiwa kudhihirika kwa kuwepo kwa utawala wa mabavu nchini humo
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment