Latest News

GNM Cargo

GNM Cargo
GNM CARGO & LOGISTICS

menu

Saturday, November 30, 2013


Dkt Shein, azungumza na Balozi wa Tanzania nchini Nigeria Daniel Ole Njooley.

  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Balozi wa Tanzania Nchini Nigeria Daniel Ole Njooley,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kumuaga Rais leo,baada ya kuteuliwa  kushika nafasi hiyo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akiagana  na  Balozi wa Tanzania Nchini Nigeria Daniel Ole Njooley,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar  leo,baada ya kuteuliwa  kushika nafasi hiyo,[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment