Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Wednesday, November 27, 2013

ANGALIA PICHA  ZA TUMAINI CHOIR WAKIREKODI VIDEO AFRIKA YA KUSINI


Baadhi ya waimbaji wa kwaya ya Tumaini waliokwenda Afrika ya kusini wakirekodi video jijini Pretoria.
Tumaini wakiwa sawa kwa rekodi karibu na Ikulu ya Rais jijini Pretoria.
Wababa wakiwa ng'aring'ari na pamba mpya kabisa waliyoibatiza jina la Tembisa sehemu waliyofikia, sare ambayo imevaliwa kwa mara ya kwanza katika ziara hiyo.
Baadhi ya wababa kwaya ya Tumaini wakirekodi video mpya.
Wachina nao wakajichanganya utamu wa muziki ulipozidi.
Kila pozi limerekodiwa.


Zoezi la kurekodi lilianzia kanisa walipofikia.
Maombi ya pamoja kabla ya kuondoka kanisani hapo.
Usafiri ukiwa tayari kuwapeleka Pretoria.
Waimbaji wakiwa nje ya ubalozi wa Tanzania nchini Afrika ya kusini.
Mwenyekiti wa kwaya Dkt. Emmanuel Mtangoo akisaini kitabu cha wageni.
Dkt. Emanuel Mbennah aliyefanikisha Tumaini kufika bondeni akisaini kitabu cha wageni ubalozini.
Picha ya pamoja nje ya ubalozi.
Mwenyekiti wa kwaya Dkt Emmanuel Mtangoo na mkewe Anna wakiwa katika pozi.


Waimbaji wa Tumaini wakiwa nyumba aliyokuwa akiishi zamani Rais Nelson Mandela kitongoji cha Soweto.

Habari na Gospel kitaa blog
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment