Writen by
sadataley
5:49 PM
-
0
Comments
Papa Francis asema kwa umakini kwamba twatakiwa kuwa wakarimu kama yule mwanamke Msamaria
Papa alipokuwa akihutubia mahujaji huko Castelgondolfo
"Mungu anataka tuwe wakarimu na wenye huruma, na kamwe hakuna mtu mkamilifu na wa kuweza kutoa hukumu kwa wengine" alisema Papa Francis.
Mungu ayajua yale tuwazayo, "huzuni zetu, matatizo yetu, hata dhambi zetu, na yeye anatuita sisi sote kwa moyo wa huruma", ili tuweze kuwa na uwezo wa kuwa wenye upendo na huruma kwa wengine, aliwaambia mahujaji waliokusanyika huko Castelgondolfo.
Imewekwa na Happy Adam
No comments
Post a Comment