Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Wednesday, July 3, 2013

SERIKALI YA TANZANIA YAKABIDHIWA UWANJA


NI SIKU MOJA TU BAADA YA RAIS WA MAREKANI KUONDOKA NCHINI
'
Barozi wa China nchini Tanzania Barozi Lu  Youging akitia saina  katika hati ya makabidhiano  ya uwanja huku Waziri wa Habari,Vijana , Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mukangara akishuhudia 

Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Vijana, Utamaduni na Michezo Bi Sihaba  Nkinga akitia saini katika hati ya makabidhiano

                                        Hapa wakibadilisha hati makabidhiano 

Naama sasa ni ishara ya ufungu wa uwanja ni  Barozi wa China nchini  Barozi Lu  Youging na  Waziri wa Habari,Vijana , Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mukangara
Picha kwa hisani ya Issa Michuzi blog

« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment