Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Tuesday, July 16, 2013

Rais Bouteflika arejea nyumbani

Rais wa Algeria, Abdelaziz Bouteflika amerejea nyumbani kutoka paris Ufaransa ambako amekuwa akipokea matibabu kwa muda wa miezi mitatu iliyopita.
                                                                                  Rais Abdelaziz Bouteflika
Rais huyo mwenye umri wa miaka sabini na sita, alikumbwa na mshtuko wa moyo mwezi april na alisafirishwa hadi nchini ufaransa kwa matibabu.
Rais Bouteflika amekuwa madarakani tangu mwaka wa elfu moja mia kenda na tisini na tisa.
Wengi wanahisi kuwa hali yake ya afya huenda ikamzuia kuwania muhula mwingine kama rais katika uchaguzi mkuu unaopangiwa kufanyika mwaka ujao.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment