Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Friday, July 5, 2013

BABA MTAKATIFU FRANCIS I KUMTANGAZA PAPA YOHANE PAULO WA II KUWA MTAKATIFU HIVI KARIBUNI

Pope John Paul II looks at passing doves released by children at the Vatican in 2005
PAPA  YOHANE  PAULO  II
John Paul II
Hapa Papa Francis akitoa salam kwa Papa Yohane II  enzi za uhai wake
Baba Mtakatifu Francis I amesema licha ya kuwa muda wa kuwa Mtakatifu kwa mujibu wa taraibu za Kanisa bado lakini kwa ishara na miujiza iliyokwisha tokea na kuoneka inadhihirisha kwamba anapaswa kutangazwa kuwa Mtakatifu. 
Na ushahidi ni kutoka huko Ufaransa kwa Mtawa Marie Simon-Pierre Normand aliyekuwa akikaribia kufa  April.2005, na huko Costa Rica ambako mama mmoja alipona kwa kupeleka maombi yake kupitia Baba Mtakatifu Yohane  Paulo wa II hivi karibuni. 
kwa habari zaidi ingia


« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment