Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Tuesday, June 18, 2013

"EVANGELICAL LUTHERAN  CHURCH  IRINGA DIOCESE WITH BERLIN LUTHERAN MISSION WILL INCREASE MORE CHILDREN 
AT HURUMA DIACONICAL CENTER"SAID  DR. REIHARD KEES
REV.DR.REIHARD KEES
BERLIN MISSION SECRETARY FOR  TANZANIA AND SOUTH AFRICA
MR. NAYMAN CHAVALLA 
E.L.C.T-IRINGA DIOCESE  GENERAL  SECRETARY
MRS. CONSTANCIA   CHILEWA   DIACONICAL CENTER  MANAGER
FROM  LEFT  MS. CONSTANCIA   CHILEWA  , REV. JAPHET MBWANJI  AND  DR. KEES

  ONE OF HURUMA BUILDINGS
       ONE OF THE BUILDING WHICH WAS CONSTRUCETED BY BERLIN MISSION
                                       DR. KEES WITH SOME OF THE BENEFICIARIES
                    AT LEFT SIDE  MR. NOEL ILOMO  TREASURER OF THE  E.L.C.T-IRINGA DIOCESE
              SHARING IDEAS WITH MR. SAID  NASSORO WHO IS THE REGIONAL  SOCIAL WELLFARE OFFICER
                                                      FORMER  GIRLS DORMITORY
                               " THIS IS GIRLS DORMITORY "MAMA CHILEWA SAID 


                                    ONE OF THE RAIN WATER HARVESTING SYSTEM
CHILDREN PLAYING SOCCER /FOOTBALL


         MR. NAYMAN CHAVALLA  WITH DR. KEES SEEMS TO BE  SO HAPPY
  MR. BROWN EMMANUEL  PLANNING  AND DEVELOPMENT OFFICER 
 E.L.C.T-IRINGA DIOCESE 
                         DR. KEES ENJOYING SONGS FROM THE CHILDREN CHOIR NOT SEE IN THE PICTURE

CHILDREN AT HURUMA  DIACONICAL  CENTER

Na Noel Kaguo
Lutheran  Berlin Mission limeahidi kusaidia baadhi ya changamoto kwenye kituo cha kulea watoto cha Huruma kilicho chini ya Dayosisi ya Iringa.
Msimamizi wa kituo cha Huruma Bi. Costancia Chilewa amesema hadi sasa shirika hilo limeweza kufanikisha ujenzi wa nyumba mbili za kuishi watoto ndani ya kituo hicho na kupunguza uhaba wa nyumba.
Amesema kwa sasa kituo kinakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo ongezeko la watoto ambao kwa sasa kituo kina jumla ya watoto 68 na kituo kina uwezo wa kuchukua watoto 40 pekee.
Aidha ameongeza kuwa kumekuwa na ongezeko la watoto ndani ya kituo kutokana na hali ya ugumu wa maisha kwa wananchi ndani ya jamii.
Pia  ameiomba serikali kupunguza kiwango cha ada kwa lengo la kuwawezesha watoto kupata elimu ndani ya jamii ili kupunguza idadi ya watoto wanaokosa elimu ndani ya jamii na kujiingiza kwenye makundi mabaya.
Hata hivyo, Bi. Chilewa  amesema kituo cha Huruma kina mipango ya uanzishwaji wa miradi mbalimbali ya kiuchumi kwa ajili ya kuwezesha kituo kujitegemea na kuondokana na kutegemea michango kutoka kwa wafadhili pekee.





« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment