Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Tuesday, July 18, 2017

Uchumi wa China wakua

Uchumi wa China ulikua kwa asilimia 6.9 kati ya mwezi Aprili na Juni kwa mujibu wa takwimu rasmi ambayo ni asillimia ya ju kuliko ilivyotarajiwa.

Ukuaji huo ambao ni mkubwa ukilinganishwa na miezi mitatu iliyopita ulikuwa sawa na robo ya kwanza ya mwaka 2017.

Wachanganuzi wengi walitarajia uchumi wa china kupunguza mwendo wa ukuaji wake.

Lakini takwimu za hivi punde ziko juu kuliko matarajio ya ukuaji wa asilimia 6.5.

Licha ya jitihada za kupunguza uwekezaji katika nyumba, uwekeza katika sekta za ujenzi ulikua kwa asilimia 8.5 katika robo ya kwanza ya mwaka, ambayo ni juu kutoka kipindi kama hicho mwaka 2016.

Wadadisi wanatabiri kuwa sheria ngumu za ukopeshaji haziwezi kuathiri uwekezaji kama wengi walivyotarajia.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment