Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Wednesday, July 19, 2017

Jonas Mkude arejea aanza mazoezi na wenzake

Nahodha wa Simba, Jonas Mkude ameungana na wachezaji wenzake na kufanya nao mazoezi pamoja nchini Afrika Kusini.

Mkude alikuwa akifanya mazoeiz pekee taratibu lakini kuanzia leo ameanza mazoezi na wenzake.

Simba imeweka kambi jijini Johannesburg nchini Afrika Kusini kujiandaa na msimu mpya wa 2017-18.

“Nimeanza mazoezi na wenzangu na sasa tunaendelea na mazoezi pamoja kujiandaa na msimu mpya,” alisema.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment