UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

Sunday, February 26, 2017

SHIRIKA LA SIGHTSAVERS LAIPATIA WIZARA YA AFYA MASHINE YA UCHUNGUZI WA UWONI YENYE THAMANI YA SHILINGI ZAIDI YA MILIONI 78



1
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Sightsavers Tanzania Gospert Katunzi akimkabidhi Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo  mashine ya uchunguzi wa uwoni baada ya kufungua kambi ya uchunguzi wa macho katika kijiji cha Uroa Mkoa Kusini Unguja. (kushoto) Mbunge wa Jimbo la Chwaka Bangwanji Mensuria Mshamba ambae alifanikisha kambi hiyo.

2
Abdulrahaman Abdalla wa Kitengo cha macho cha Mikunguni akimfanyia uchunguzi wa macho mwanafunzi Hafsa Suleiman Ali katika kambi ya uchunguzi wa macho Kijiji cha Uroa inayoendeshwa na Lions Club ya Dar es salam.
3
Mratibu wa Lions Club ya Dar es salaam Mustasir Gulamhussein akimuhoji Bibi  Saumu Pandu Simai  namna anavyoweza kuona baada ya kumpima na kumpatia miwani kutoakana na matatizo aliyonayo.
4
Mbunge wa Jimbo la Chwaka Bangwanji Mensuria Mshamba akizungumza na wananchi wa Jimbo hilo waliofika kufanyiwa uchunguzi wa macho na kupatiwa dawa na miwani kwa waliobanikia na matatizo ya uwoni.
5
Baadhi ya wananchi waliofika Skuli ya Uroa kuchunguzwa afya ya macho wakimsikiliza mbunge wao Bangwanji Mensuria Mshamba.
6
Picha ya pamoja ya viongozi wa Lions Club ya Dar es salaam, wanaoendesha kambi ya uchunguzi wa macho, wakiwa pamoja na Mbunge wa Jimbo la Chwaka Bangwanji  Mensuria Mshamba na Waziri Mahmoud Thabit Kombo.
Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment