Writen by
sadataley
1:17 PM
-
0
Comments

Rais Mstaafu Alhaj Ally Hassan Mwinyi
akipokea zawadi ya mchoro toka kwa Balozi wa Kuwait nchini Mhe. Jasem al
Najem katika hafla ya kusherehekea Miaka 54 ya Uhuru wa nchi ya Kuwait
na miaka 26 ya mapambano ya ukombozi katika ubalozi wa nchi hiyo
Oysterbay jijini Dar es salaam jana usiku . Kushoto ni waziri wa mambo
ya nchi za nje Dkt. Andrew Mahiga

Rais Mstaafu Alhaj Ally Hassan Mwinyi
akikata keki na Balozi wa Kuwait nchini Mhe. Jasem al Najem katika
hafla ya kusherehekea Miaka 54 ya Uhuru wa nchi ya Kuwait na miaka 26 ya
mapambano ya ukombozi katika ubalozi wa nchi hiyo Oysterbay jijini Dar
es salaam usiku huu. Kushoto ni waziri wa mambo ya nchi za nje Dkt.
Andrew Mahiga

Rais Mstaafu Alhaj Ally Hassan Mwinyi
akikata keki na Balozi wa Kuwait nchini Mhe. Jasem al Najem katika
hafla ya kusherehekea Miaka 54 ya Uhuru wa nchi ya Kuwait na miaka 26 ya
mapambano ya ukombozi katika ubalozi wa nchi hiyo Oysterbay jijini Dar
es salaam usiku huu. Kushoto ni waziri wa mambo ya nchi za nje Dkt.
Andrew Mahiga

Keki ya hafla hiyo ya kusherehekea
Miaka 54 ya Uhuru wa nchi ya Kuwait na miaka 26 ya mapambano ya ukombozi
katika ubalozi wa nchi hiyo Oysterbay jijini Dar es salaam usiku huu.
Rais
Mstaafu Alhaj Ally Hassan Mwinyi akiwa katika hafla ya kusherehekea
Miaka 54 ya Uhuru wa nchi ya Kuwait na miaka 26 ya mapambano ya ukombozi
katika ubalozi wa nchi hiyo Oysterbay jijini Dar es salaam usiku huu.
Kulia kwake ni waziri wa mambo ya nchi za nje Dkt. Andrew Mahiga.
No comments
Post a Comment