Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Saturday, February 18, 2017

PROF MUHONGO AMEWATEMBELEA WAHANGA 15 WA TUKIO LA KUFUKIWA NA KIFUSI NYARUGUSU NA KUTOA MAAGIZO KWA KAMISHINA WA MADINI.


Waziri
wa nishati na madini ,Professa Sospeter Muhongo akisisitiza jambo
wakati alipokwenda kuwatembelea wahanga wa mgodi wa RZ UNION ulijifukia
mwezi wa kwanza mwaka huu kwenye kijiji cha mawemeru Kata ya Nyarugusu
Wilaya  na Mkoa wa Geita.
 
Waziri wa nishati na madini ,Professa Sospeter Muhongo akisalimiana na mmoja kati ya wafanyakazi wa mgodi wa RZ UNION
 
Waziri
wa nishati na madini ,Professa Sospeter Muhongo na msemaji na
mwanasheria wa Mgodi wa RZ UNION ,Frances Kiganga wakati alipotembelea
mgodi huo.
Waziri wa nishati na madini ,Professa Sospeter Muhongo akisalimiana na meneja wa mgodi huo ,Bw Gexiu Liu.
 
Waziri wa nishati na madini ,Professa Sospeter Muhongo akizungumza na baadhi ya wahanga wa tukio la kufukiwa na kifusi.
 
Waziri
wa nishati na madini ,Professa Sospeter Muhongo,akiteta jambo na mkuu
wa Mkoa wa Geita meja jenerali mstaafu Ezekiel Kyunga
 
mkuu
wa Mkoa wa Geita meja jenerali mstaafu Ezekiel Kyunga akimkaribisha
waziri wa nishati na madini kuzungumza na wahanga wa tukio hilo.
 
 
Baadhi ya wahanga na wasio wahanga wakifatilia kile ambacho kilikuwa kikiendelea 
 
Msemaji na Mwanasheria wa Mgodi huo,Frances Kiganga akiwakilisha taarifa kwa waziri wa nishati na madini.
 
Anset Masanja akimwelezea waziri wa nishati na madini namna ambavyo hali ilikuwa siku nne ambazo walikuwa wamefukiwa na kifusi.
 
 
Mbunge
wa Jimbo la Busanda,Lorencia Bukwimba akimweleza waziri wa nishati na
madini namna ambavyo wachimbaji wamekuwa wakikutana na wakati mgumu
katika shughuli zao za uchimbaji na kumwomba aweze kuwasaidia wananchi
eneo la Stamico ambalo limekuwa likililiwa na wachimbaji wadogo.
 
Waziri
wa Nishati na madini,Professa Muhongo akimweleza Mbunge Bukwimba namna
ambavyo wizara imejipanga kuwasaidia wachimbaji wadogo.

 
 
Waziri wa Nishati na madini,Professa Muhongo akizungukia maeneo ya mgodi wa RZ.
 
Waziri
wa Nishati na madini,Professa Muhongo,Akipatiwa maelezo na msemaji wa
mgodi wa RZ kwenye eneo ambalo waliwaokolea ndugu ambao walifukiwa na
kifusi.
 
Moja
kati ya wahanga wa tukio hilo akionesha ramani ya shimo ambalo
lilijifukia kwa waziri wa nishati na madini,Mh Prof Sospeter Muhongo.
      
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment