Writen by
sadataley
1:15 PM
-
0
Comments
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimkaribisha ofisini kwake Waziri wa
Mambo ya Ndani Mh. Mwigulu Nchemba tayari kwa mazungumzo Ikulu jijini
Dar Es Salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Waziri wa Mambo ya
Ndani Mh. Mwigulu Nchemba , Ikulu jijini Dar Es Salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na
Waziri wa Mambo ya Ndani Mh. Mwigulu Nchemba , Ikulu jijini Dar Es
Salaam .
( Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
No comments
Post a Comment