Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Sunday, November 9, 2014

Wapiganaji 70 wa Alshabaab wauawa

   
Wapiganaji wa Alshabba.Serikali ya Somali inasema kuwa imewaua wapiganaji 70 katika kisiwa cha kudha
Mamlaka kusini mwa Somali inasema kuwa zaidi ya wapiganaji 70 wa kundi la Alshabaab waliuawa katika mapigano siku ya jumamosi katika vita vya kukidhibiti kisiwa muhimu cha kudha.
Alshabaab limechukua udhibiti wa kisiwa hicho ,na linasema kuwa limewaua zaidi ya wanachama 60 wa jeshi moja la afrika mashariki,linasaidia serikali ya Somali.
Mamlaka katika jimbo la Juba nchini Somali imewashtumu wanachama wa Al shabaab kwa kuwaua raia.
Vikosi vya wanajeshi wa Afrika pamoja na wale wa Somali katika miezi ya hivi karibuni vimehusika katika kuwafurusha wanamgambo hao kutoka miji kadhaa na vijiji kusini mwa Somali.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment