Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Thursday, November 6, 2014

Vijana kuathirika na saratani ya utumbo

   
Utafiti:Saratani ya Utumbo kuathiri vijana wengi baada ya miaka 15.
Saratani ya utumbo miongoni mwa watu walio na umri chini ya mika 34 inatarijiwa kuongezeka maradufu miaka kumi na tano ijayo.
Watafiti wamesema kuwa takwimu hiyo inaibua hisia kuhusu kupambana na mojawapo ya saratani hatari duniani.
Kuongezeka kwa ugonjwa huo miongoni mwa vijana kunasababishwa na chaguo lao la kimaisha kinyume na kupungua kwa visa vya ugonjwa huo miongoni mwa watu wenye umri zaidi ya 50.
Upungufu huo umesababishwa na kuzingatia uchunguzi kwa kina.
Ongezeko la ugonjwa huo katika vijana unalinganishwa na kula vyakula visivyokuwa na madini ya kufaidi mwili na pia mienendo potofu ya kimaisha.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment