Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Saturday, November 1, 2014

FILIPE NYUSI ALIPATA MIKOBA YA CCM KUSHINDA UCHAGUZI MSUMBIJI
 
   Rais wa Msumbiji Mheshimiwa Filipe Nyusi akisoma gazeti la Uhuru wakati akijadiliana jambo na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana alipokuja kwenye ziara ya siku tatu mwezi Julai mwaka huu nchini Tanzania ambapo alitembelea jiji la Dar es salaam,Tanga na Zanzibar.
   Frelimo na CCM wana urafiki mkubwa sana kiasi cha kusaidiana katika mikakati ya kupata ushindi kwenye chaguzi zao.


Kilifuatilia kwa karibu kwa kuwa pia CCM na Chama cha FRELIMO ni vyama ndugu vyenye historia moja na ya pamoja ya Ukombozi Kusini mwa Afrika.

Historia hiyo ndiyo iliyomfanya Rais Mteule wa nchi hiyo Ndugu Filipe NYUSI mara baada ya kuteuliwa kwake na FRELIMO kugombea Urais, nchi ya kwanza kuitembelea kuwa Tanzania.

Ikumbukwe kwamba huyu si mgeni hapa Tanzania. Kama wanaharakati wengine wa ukombozi, Ndugu NYUSI aliishi Tanzania, anaongea vizuri Kiswahili na anaichukulia Tanzania ni nyumbani.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment