Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Saturday, August 9, 2014

Didier Drogba astaafu soka ya kimataifa


Drogba alisaidia nchi yake katika upatanishi baada ya mgogoro wa kisiasa
Mchezaji soka maarufu wa Ivory Coast Didier Drogba, ametangaza kustaafu kutoka katika soka ya kimataifa.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 36, alichezea Ivory Coast zaidi ya mara miamoja.
Alishiriki kombe la dunia mara tatu na mashindano ya kombe la Afrika mara 2
Amesema kuwa anajivunia kusaidia nchi yake kufika katika nafasi hiyo kimataifa.
Drogba alipigia debe kumalizika kwa mgogoro wa kisiasa na pia kuhimiza pande zilizozozana kupatana.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment