Writen by
sadataley
1:37 PM
-
0
Comments
Mwanamke huyo alikuwa akifahamika kwa jina la Adraf Al-Hadi Mohammed Abdullah alipewa siku tatu kama nafasi kwake kurudi katika dini yake ya kiislamu lakini akabaki na msimamo wake kitendo kilichomfanya jaji Abbas Mohammed Al-Khalifa aliyekuwa akimuita mwanamke huyo kwakutumia jina lake la zamani la kislamu kwamba amemuhukumu kunyongwa mpaka kifo kwa kuukataa uislamu na kuwa mkristo ikiwa pamoja na kuchapwa viboko 100 kwa kosa la uzinzi kutokana na mwanamke huyo kuwa mjamzito.
Kabla ya kuanza kusikilizwa kwa kesi hiyo siku ya leo, mmoja kati ya viongozi wa kiislamu alienda
![]() |
Baadhi ya wakristo wakiwa kanisani nchini Sudan. |
Baada ya hukumu hiyo watu wapatao 50 waliandamana kupinga hukumu hiyo wakisema si haki kwakuwa suala la dini ni haki kikatiba huku pia kundi lingine linalounga mkono hukumu hiyo liliwasili kuonyesha kuunga mkono jambo hilo huku ikielezwa hakutokea hali ya uvunjifu wa amani.
Mdau wa GK omba kwa ajili ya Meriam na taifa lake kwa ujumla, bila kusahau wakristo wanaopitia hali ya mateso kwasababu ya imani yao, lakini pia ombea wanaowatesa kwamba wakakutane na nguvu za Mungu. AMEN
No comments
Post a Comment