Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Saturday, August 10, 2013

WIZI ULIOTOKEA WAKATI MOTO UNAWAKA

Askari polisi saba wanahojiwa na wachunguzi nchini Kenya, wakishukiwa kuhusika na uporaji wakati wa moto ambao uliteketeza eneo la mapokezi la uwanja wa kimataifa mjini Nairobi mwanzo wa juma.
Sehemu ya uwanja wa ndege wa Nairobi iliyoteketea
Askari hao, akiwemo inspector, wanashutumiwa kuiba pesa na ulevi.
Wafanyakazi wa uwanja wa ndege, uhamiaji na madereva wa taxi ni kati ya wale wanaohojiwa, baada ya kamera za usalama kuonesha watu wakiiba vitu madukani.
Wakuu piya wanawatafuta watu wane waliokuwa wakisubiri kufukuzwa nchini kabla ya moto huo kutokea.
Watu hao wametoweka.
Ijumaa Rais Uhuru Kenyatta alisema moto huo haukutokana na kitendo cha kigaidi.

Imewekwa na Happy Adam
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment