Writen by
sadataley
9:20 PM
-
0
Comments
Papa Francis alipokuwa katikati ya Misa kstiks kipindi cha siku ya WYD
Wazazi wanaitwa ili waweze kupita katika njia za watoto wao na kuweza kuwafundisha namna ambavyo watoto wanaweza wakalinda maisha yao.Pia Papa aliweza kumalizia kwa kukazia kwamba kwa upande wa wazazi ni lazima wapigane juu ya maisha ya watoto wao na kuhakikisha kwamba watoto wao wanaishi katika mazingira mazuri na yenye kuwafanya wakawa na furaha maishani mwao.
kwahabari zaidi tembelea http://www.catholicherald.co.uk/news/2013/08/13/parents-must-teach-children-to-defend-life-says-pope/
No comments
Post a Comment