Latest News

GNM Cargo

GNM Cargo
GNM CARGO & LOGISTICS

menu

Saturday, August 3, 2013

SANAMU ZA WAKUBWA ZANYENYEKEWA

Sanamu za mawaziri wakuu wa zamani wa Uingereza katika bunge la nchi zitatengwa ili kuzuwia wale wabunge wanaogusa miguu ya sanamu hizo, wakiamini itawapa bahati.
Sanamu ya hayati Margaret Thatcher
Msimamizi aliiambia kamati ya bunge kwamba sanamu za viongozi kama Winston Churchill na Margaret Thatcher zinaharibika kwa sababu ya itikadi hiyo.
Ilani itawekwa, lakini mwenyekiti wa kamati amesema pengine vitawekwa vizuizi iwapo wabunge hawawezi kutuliza mikono yao.

Imewekwa na Happy Adam
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment