Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Sunday, August 4, 2013

AL-BASHIR AKATALIWA KUPITA SAUDI ARABIA

Wakuu wa Sudan wanasema Rais Omar al-Bashir amezuwiliwa kuingia katika anga ya Saudi Arabia, na amelazimika kurudi Khartoum.
Rais Omar al-Bashir
Bwana al-Bashir alikuwa njiani kuelekea Iran kwa sherehe ya kutawazwa kwa rais mpya, Hassan Rouhani.
Saudi Arabia - ambayo ina uhusiano mbaya na Iran - haikutoa sababu ya kuchukua hatua hiyo.
Bwana al-Bashir anasakwa na Mahakama ya Jinai ya Kimataifa, ICC, kwa uhalifu wa vitani.
Mwezi uliopita al-Bashir alipewa heshima ya gwaride nchini Nigeria alipohudhuria mkutano wa viongozi wa Umoja wa Afrika.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment