Writen by
sadataley
12:22 PM
-
0
Comments
![]() |
| Askofu Martin Lind akizungumza jambo. |
Ibada hiyo ilihudhuriwa na balozi wa Tanzania nchini Uingereza Peter Kallaghe, mkewe, wachungaji mbalimbali, waumini pamoja na mchungaji kiongozi wa usharika huo wa Tumaini Kallaghe. Ambapo baada ya ibada hiyo ya kusimikwa kwa mchungaji Moses, waumini walimpongeza kwa zawadi mbalimbali ikiwemo komputa mpakato na kufuatiwa na chakula cha pamoja.
Kanisa la Kilutheri la mtakatifu Anne's huwa na ibada ya kiswahili kila jumapili ya mwanzo na ya kati ya mwezi kuanzia saa nane mchana zikiongozwa na mchungaji kiongozi Tumaini Kallaghe akisaidiwa na mchungaji Moses Shango ambaye amesimikwa rasmi siku ya jumamosi.
![]() |
| Mchungaji Moses Shango akiwa tayari kuingizwa kazini. |
![]() |
| Baadhi ya wachungaji na waumini wakifuatilia ibada. |
![]() |
| Ibada ya kumsimika ikiendelea. |
![]() |
| Maombi yalifanyika. |
![]() |
| Balozi wa Tanzania nchini Uingereza mheshimiwa Peter Kallaghe na mkewe wakifuatilia ibada. |
![]() |
| Waumini wakifuatilia ibada. |
![]() |
| Mtume Matthew Jutta na watenda kazi wengine wakiwa ibadani hapo. |
![]() |
| Hakika ibada ilipendeza kama inavyoonekana. |
![]() |
| Bwana Andy Kilo Mkwavi akiwa ibadani. Habari na Gospel Kitaa |














No comments
Post a Comment