Writen by
sadataley
10:12 PM
-
0
Comments
Klabu hio imefahamisha kwamba uamzi huo umechukuliwa pande zote mbili (Tottenham na Andre Villas-Boas) zikiafikiana.
Villas-Boas, mwenye umri wa miaka 36 alifutwa kazi na timu yake ya mwanzo, chelsea, ilikua mwezi machi mwaka 2012, baada ya miezi 9 akiipa mafunzo timu hio.
Villas-Boas, alijiandikishia jina wakati FC Porto iliibuka mshindi katika michuano ya Kombe la Ureno na michuano ya Kombe la klabu bingwa barani Ulaya.
Na hatimaye, timu ambazo zitakutana katika mzunguuko wa nane katika michuanao ya klabu bingwa barani Ulaya, zimejulikana leo. Manchester City itaminyana na FC Barcelona, huku Bayern Munich ikikutana na Arsenal.
Mzunguuko wa kwanza utachezwa tarehe 18-19 mwezi februari ao tarehe 25-26 mwezi februari, na mechi za marudiano zichezwe tarehe 11-12 mwezi machi ao tarehe 18-19 mwezi machi
Man City imeibuka mshindi jana jumapili kwa kuifunga Arsenal mabao (6-3).
Villas-Boas, mwenye umri wa miaka 36 alifutwa kazi na timu yake ya mwanzo, chelsea, ilikua mwezi machi mwaka 2012, baada ya miezi 9 akiipa mafunzo timu hio.
Villas-Boas, alijiandikishia jina wakati FC Porto iliibuka mshindi katika michuano ya Kombe la Ureno na michuano ya Kombe la klabu bingwa barani Ulaya.
Na hatimaye, timu ambazo zitakutana katika mzunguuko wa nane katika michuanao ya klabu bingwa barani Ulaya, zimejulikana leo. Manchester City itaminyana na FC Barcelona, huku Bayern Munich ikikutana na Arsenal.
Mzunguuko wa kwanza utachezwa tarehe 18-19 mwezi februari ao tarehe 25-26 mwezi februari, na mechi za marudiano zichezwe tarehe 11-12 mwezi machi ao tarehe 18-19 mwezi machi
Man City imeibuka mshindi jana jumapili kwa kuifunga Arsenal mabao (6-3).
No comments
Post a Comment