Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Wednesday, August 7, 2013

DAWA ZA KULEVYA ZALICHAFUA TAIFA

BIASHARA ya kusafirisha dawa za kulevya imeanza kutia doa taswira ya Watanzania kimataifa. Hali hiyo inathibitishwa na kwamba katika baadhi ya nchi, kila Mtanzania anayeingia, hivi sasa anachukuliwa kama mshukiwa wa moja kwa moja wa dawa hizo. Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano cha Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mkumbwa Ally, alisema jana kuwa Watanzania waliokamatwa wakifanya biashara hiyo, wametia doa taswira ya nchi. ...

Kwa habari zaidi http://www.magazetini.com/news/dawa-za-kulevya-zalichafua-taifa
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment